Nd. Is-haka A. Khamis aakitoa nasaha kwa wafanyakazi wa Mahakama ya Ardhi Nd. Khamis R. Khamis (aliyekuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi).
Nd. Is-haka A. Khamis akikabidhi Cheti kwa Nd. Khamis R. Khamis (aliyekuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi) katika hafla ya kumuaga, hafla iliyofanyika katika Mahakama ya Ardhi (Mwanakwerekwe - Zanzibar).
Nd. Is-haka A. Khamis akimkabidhi zawadi ndugu Khamis R. Khamis (aliyekuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi) kwa niaba ya wafanyakazi wa Mahakama ya Ardhi.
Nd. Hassan A. Issa akimkabidhi zawadi ndugu Khamis R. Khamis (aliyekuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi) kwa niaba ya wafanyakazi wa Mahakama ya Ardhi.
Wafanyakazi wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar katika picha ya pamoja katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mwenyekiti wa Mahakama hiyo.
Nd. Ahmad J. Marika akipokea zawadi kwa niaba ya Nd. Zahra H. Haji (aliyekuwa Hakimu wa Mahakama ya Ardhi) katika hafla ya kumuaga, hafla iliyofanyika katika Mahakama ya Ardhi (Mwanakwerekwe - Zanzibar).
Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwa katika Picha ya pamoja katika kilele cha siku ya Sheria kilichofanyika Tarehe 11/02/2020 katika Ukumbi wa SH. IDRISA ABDUL WAKIL.
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar MH.JAJI MSHIBE akiwa Mwenyekiti katika Uwasilishaji wa miongoni mwa mada zilizoandaliwa.
Naibu Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi (Unguja) MH. ZAHRA HASSAN HAJI akimkabidhi zawadi katika hafla ya kumuaga BW. ABUU HASSAN SHAMTE aliyekuwa Afisa Utumishi kabla ya kustaafu.
Naibu Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi (Unguja) MH. ZAHRA HASSAN HAJI akimkabidhi zawadi katika hafla ya kumuaga BW. ABUU HASSAN SHAMTE aliyekuwa Afisa Utumishi kabla ya kustaafu.
Wafanyakazi wanawake wa Mahakama ya Ardhi wakiwa katika picha ya pamoja katika hafla ya kumuaga BW. ABUU HASSAN SHAMTE aliyekuwa Afisa Utumishi kabla ya kustaafu.
Wafanyakazi wanaume wa Mahakama ya Ardhi wakiwa katika picha ya pamoja katika hafla ya kumuaga BW. ABUU HASSAN SHAMTE aliyekuwa Afisa Utumishi kabla ya kustaafu.

THE SLOGAN:

 

WELCOME TO THE LAND TRIBUNAL

Mahakama ya Ardhi Zanzibar imeanzishwa chini ya kifungu cha 3 (1) cha Sheria ya Mahakama ya Ardhi nambari 7 ya mwaka 1994 S. 3 of the Land Tribunal Act no. 7 of 1994. Sheria hii ilipitishwa na Baraza la Wawakilishi Zanzibar mnamo Tarehe 27/09/1994 na hatimae ilitiwa saini mnamo tarehe 24/2/1995 na aliyekua Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wa wakati huo MHE. DK. SALMIN AMOUR JUMA.

OUR STATISTICS

The figures are based on cases reported in our tribunals from 2006 to the present
Cases Status
% Based on Total Number of Filed Cases   
Urban Region 11.31  %
North Region (U) 16.08  %
South Region (U) 13.57  %
North Region (P) 20.85  %
South Region (P) 20.85  %

  ANNOUNCEMENTS

Chair Photo

Chairperson

Mr: Is-haka Ali Khamis

Chairperson

Katika mwezi wa Septemba 2022, Ndugu IS-HAKA ALI KHAMIS ameteuliwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar kuchukuwa nafasi ya ndugu Khamis R. Khamis.

  RELATED LINKS